repliche orologi replica uhren
International

KIMATAIFA: DOLA VS UPINZANI SEASON 6 TZ

Written by admin

Chama cha upinzani cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) nchini Tanzania, kimefungua kesi ili kudai kuachiliwa kwa dhamana kwa kiongozi wa baraza la wazee la chama hicho Hashim Issa Juma (63) ambaye anashilikiwa kwa siku ya nne sasa.

Kupitia taarifa yao kwa vyombo vya habari CHADEMA walisema licha ya kufanya utaratibu wote kumuombea dhamana kiongozi huyo bado polisi wameendelea kumshikilia.

Kufuatia hayo, timu ya wanasheria wa chama hicho walifungua shauri katika mahakama ya hakimu mkaazi kisutu jijini Dar es salaam, wakitaka jeshi la polisi kueleza kwa nini hawataki kumpatia dhamana mtuhumiwa huyo wakati ni haki yake ya kikatiba.

Akizungumzia sakata hilo, Kamanda wa kanda maalumu ya jeshi la polisi Dar es Salaam, ACP Jumanne Muliro, alisema jeshi hilo bado linamshikilia mwenyekiti wa baraza la wazee wa Chadema Hashimu Issa Juma kwa tuhuma za kutoa kauli za kichochezi.

About the author

admin

Leave a Comment

nude pics of weman wrestler with a boner xxnx.vip latina on black porn videos pornos en familia, mom a d son porn how to download from pornhub xxxpor.win axel kane gay porn my hero academia porn comic, my hero academia porn kimberly delgado only fans wifeporn.win backroom casting couch jena sausage party sex scene