repliche orologi replica uhren
News/Habari

KENYA: DOZI BAADA YA DOZI

Written by admin

Kenya imepokea shehena la pili la dozi 210,000 za Pfizer kutoka kwa serikali ya Marekani katika mkakati wa kuwezesha juhudi za kukabiliana na virusi vya Corona.

Chanjo hizo zimewasili katika uga wa  JKIA  mwendo wa saa saba asubuhi ya kuamkia leo kutoka kituo cha usambazaji corona cha COVAX.

Hii inajiri wiki mbili tu baada ya Kenya kupokea chanjo zingine 795,600 aina ya  Pfizer-Biontech pia.

Shehena nyingine inatarajiwa nchini wiki chache zijazo ili kuafikia dozi milioni 2.03 aina ya  Pfizer  ambazo serikali ya Marekani iliahidi Kenya.

About the author

admin

Leave a Comment

nude pics of weman wrestler with a boner xxnx.vip latina on black porn videos pornos en familia, mom a d son porn how to download from pornhub xxxpor.win axel kane gay porn my hero academia porn comic, my hero academia porn kimberly delgado only fans wifeporn.win backroom casting couch jena sausage party sex scene