repliche orologi replica uhren
News/Habari

KENYA: Hatimae rais aziba mapengo tata

Rais wa Jamhuri ya Kenya Uhuru Kenyatta.
Written by admin

Rais Uhuru Kenyatta amewateua rasmi makamishna wanne wapya wa tume ya mipaka na uchaguzi nchini (IEBC).

Rais Kenyatta amewateua Juliana  Whonge Cherera, Francis  Mathenge Wanderi, Irene Cherop Masit na Justus Obonyo Nyang’aya baada ya bunge la kitaifa kupitisha majina yao jana, Jumatano.

Majina ya wanne hao yamechapishwa kwenye gazeti la serikali na wanatarajiwa kula kiapo, leo Alhamisi.

Wanne hao watahudumu kwa kipindi cha miaka sita.

Hatua hiyo inamaanisha kuwa kwa sasa IEBC imetimiza idadi ya makamishna wanaohitajika kikatiba.

Kwingineko rais pia ameteua makamishna watano wa tume ya kuajiri waalimu nchini (TSC)  na kumaliza shida iliyokuwepo.

Rais ameteua Nicodemus Ojuma Anyang, Christine Kahindi, Anneta Wafukho na Salesa Adano, na Sharon Chelagat kujiunga na TSC kwa kipindi cha miaka sita.

About the author

admin

Leave a Comment

nude pics of weman wrestler with a boner xxnx.vip latina on black porn videos pornos en familia, mom a d son porn how to download from pornhub xxxpor.win axel kane gay porn my hero academia porn comic, my hero academia porn kimberly delgado only fans wifeporn.win backroom casting couch jena sausage party sex scene