repliche orologi replica uhren
News/Habari

KENYA: Rushwa ya kimabavu

Written by admin

Afisa mmoja wa polisi anazuiliwa katika kituo cha polisi cha Kabati, Murang’a kwa madai ya kumuibia dereva wa TukTuk shilingi 1,100.

Kulingana na DCI, polisi huyo alikamatwa baada ya dereva wa TukTuk kupiga ripoti kuhusu tukio hilo ambalo linadaiwa kufanyika mnamo Jumanne jioni.

Dereva huyo anadai kuwa mshukiwa alisimamisha TukTuk yake na kumwagiza atoe hongo ya shilingi 2000,na kukataa kutii agizo hilo, polisi huyo anaripotiwa kunyakua shilingi 300 alizokuwa ameshika kwa mkono.

Pia inasemekana kuwa afisa huyo alikagua mifuko ya jamaa huyo  na kupora kiasi cha shilingi 800 alizokuwa nazo, tukio lililoacha suruali ya mhasiriwa ikiwa imeraruka vipande vipande.

Polisi huyo kwa sasa anazuiliwa huku uchunguzi zaidi ukiendelea ili kuhakikisha haki imetendeka.

About the author

admin

Leave a Comment

nude pics of weman wrestler with a boner xxnx.vip latina on black porn videos pornos en familia, mom a d son porn how to download from pornhub xxxpor.win axel kane gay porn my hero academia porn comic, my hero academia porn kimberly delgado only fans wifeporn.win backroom casting couch jena sausage party sex scene