repliche orologi replica uhren
News/Habari

Marakwet :Walemavu kusahaulika Keiyo Huko Marakwet

Rais Uhuru Kenyataa akiwa pamoja na watoto wanaoishi na ulemavu
Written by admin

Idadi ya watu wanaoishi na ulemavu ambao wamepata usaidizi kutoka idara  kitaifa ya watu wanaoishi na ulemavu mwaka huu  katika eneo bunge la Keiyo kaskazini kaunti ya Elgeyo Marakwet imepungua kwa asilimia 46.

Haya ni kwa mujibu wa Afisa kutoka idara hiyo Isaack Kalia ambaye amesema katika mwaka wa 2018 watu 28 walipata uzaidizi huo  huku watu 13 wakipata uzaidizi mwaka huu.

Akiongea alipopeana vifaa vilivyogharimu shilingi elfu  mia tatu mjini Iten,  Kalia amesema jamii hiyo haikuweza kupewa uhamasisho wa kutosha kuhusu jinsi ya kupeana ombi la kupata vifaa hivyo.

“Ningependa kutoa shukranui kwa seerikali kuu kwa sababu ya kusaidia walemavu kujikimu  kimaisha,hivi vifaa vimenunuliwa ili kuwasaidia walemavu , na kama kuna mtu amabaye angetaka kujitolea basi tunaomba atusaidie kwani bado kuna changamoto”Isaack Kalia amesema.

Beatrice Koech


About the author

admin

Leave a Comment

nude pics of weman wrestler with a boner xxnx.vip latina on black porn videos pornos en familia, mom a d son porn how to download from pornhub xxxpor.win axel kane gay porn my hero academia porn comic, my hero academia porn kimberly delgado only fans wifeporn.win backroom casting couch jena sausage party sex scene