repliche orologi replica uhren
News/Habari

NAKURU: KERO LA WACHUKUZI

Written by admin

Wadau katika sekta ya uchukuzi mjini Nakuru wametaka serikali ya kaunti  kuharakisha ujenzi wa kituo cha kisasa cha matatu mjini ili kuboresha utenda kazi.

Mwenyekiti wa  muungano wa wenye matatu kati mwa bonde la ufa  Stephen Muli alisema kuwa  ujenzi wa kituo hicho cha kisasa katika eneo la Railways umekawia kukamilika.

Kulingana na Muli kujikokota kwa  zoezi hilo nzima kumeathiri biashara akitaja maafisa wa utekelezaji kwenye serikali ya kaunti kuhusika na ukokotaji huo kwa madai kuwa wanazidi kupokea hongo kutoka kwa magari ambayo hayafuati sheria ili kuwapa fursa ya kuendelea kupakia abiria kusiko stahili.

Katibu wa muungano wa wafanyibiashara mjini Simon ole Nasieku kwa upande wake amekashifu wanasiasa katika kaunti hii kwa  kukosa kuunda sera ambazo zinaelekeza na kuhakikisha mandhari yaliyo sawa na salama kwa wafanyibiashara.

About the author

admin

Leave a Comment

nude pics of weman wrestler with a boner xxnx.vip latina on black porn videos pornos en familia, mom a d son porn how to download from pornhub xxxpor.win axel kane gay porn my hero academia porn comic, my hero academia porn kimberly delgado only fans wifeporn.win backroom casting couch jena sausage party sex scene