repliche orologi replica uhren
News/Habari

NAKURU: Kifo kilichofungamanishwa na mapenzi

Written by admin

Mwanamke mmoja mwenye umri wa miaka 48 kwa jina Anita Njeri anaendelea kuzuiliwa kwenye kituo cha polisi cha Menengai Magharibi  kaunti ndogo ya Rongai, akishukiwa kutekekeza mauaji.

Akidhibitisha hayo, OCPD wa Rongai Richard Rotich, amesema mwanamke huyo anashukiwa kumuua Teresia Chakoko mmiliki wa klabu moja katika kituo cha kibiashara cha ol-Rongai usiku wa Jumamosi.

Rotich amesema uchunguzi unaonyesha kuwa wawili hao walikuwa wanazozania mwanaume mmoja.

Kulingana na Rotich, mwili wa marehemu ulipatikana chumbani ukiwa na majeraha, ila kunasubiriwa upasuaji kubaini chanzo cha kifo chake.

About the author

admin

Leave a Comment

nude pics of weman wrestler with a boner xxnx.vip latina on black porn videos pornos en familia, mom a d son porn how to download from pornhub xxxpor.win axel kane gay porn my hero academia porn comic, my hero academia porn kimberly delgado only fans wifeporn.win backroom casting couch jena sausage party sex scene