repliche orologi replica uhren
News/Habari

NAKURU: WIZI WA KUSHTUKIZA MAJUMBANI CHUKUA TAHADHARI

Written by admin

Maafisa wa upelelezi nchini DCI wameanzisha uchunguzi na msako mkali dhidi ya genge la wahalifu sita waliovamia familia moja katika eneo bunge la Bahati kaunti ya Nakuru na kutoweka na mali ya thamani isiyojulikana.

Kulingana na DCI, genge hilo  ambalo lilikuwa limejihami kwa panga lilivamia nyumba ya wahasiriwa mida ya saa tatu usiku walipokuwa wanatazama runinga kabla ya kulala.

Majambazi hao walijeruhi mzee mwenye nyumba kabla ya kumfunga mkewe, bintiye, wajukuu watatu na yaya kwa kamba kisha kuanza kupora mali tofuati kwenye nyumba hiyo usiku kucha.

Wahalifu hao wanaripotiwa kufanya uporaji wao kwa zaidi ya saa tisa na kufanikiwa kuiba runinga nne, mitungi mitatu ya gesi, jokofu, kipakatalishi, baiskeli, nguo kati ya vitu vingine.

Vile vile majambazi hao wanasemekana kuhamisha shilingi 80,000 kutoka kwa akaunti ya simu ya binti wa familia na zingine 61,800 kutoka kwa akaunti yake ya benki.

Ni kisa kilichoripotiwa katika kituo cha polisi cha Bahati.

About the author

admin

Leave a Comment

nude pics of weman wrestler with a boner xxnx.vip latina on black porn videos pornos en familia, mom a d son porn how to download from pornhub xxxpor.win axel kane gay porn my hero academia porn comic, my hero academia porn kimberly delgado only fans wifeporn.win backroom casting couch jena sausage party sex scene