repliche orologi replica uhren
News/Habari

NYANDARUA: CHANGAMOTO NDANI YA FURSA

Sehemu ya barabara ya Maumau inayoendelea kukarabatiwa katika kaunti ya Nyandarua. Picha/Mitandao
Written by admin

Ukarabati wa barabara ya Maumau inayounganisha kaunti za Nyandarua, Murang’a na Nyeri umekubwa na changamoto kwani barabara hiyo inapitia katikati mwa  msitu wa Aberdare.

Mhadisi Evans Kinyua anayesimamia ukarabati wa barabara ya Njabini- Kinyona alisema kuwa changamoto hiyo ya msitu imeathiri utendakazi pamoja na hali ya mvua tele.

Akikagua ujenzi wa barabara hiyo mratibu wa serikali katika mkoa wa Kati Wilfred Nyangwanga alisema kuwa serikali itasuluhisha changamoto iliyoko na kuhakikisha msitu umehifadhiwa kwa kupanda kiasi Cha miti itakayokatwa  ili kuafikia asilimia 10 ya misitu nchini.

About the author

admin

Leave a Comment

nude pics of weman wrestler with a boner xxnx.vip latina on black porn videos pornos en familia, mom a d son porn how to download from pornhub xxxpor.win axel kane gay porn my hero academia porn comic, my hero academia porn kimberly delgado only fans wifeporn.win backroom casting couch jena sausage party sex scene