repliche orologi replica uhren
News/Habari

SIAYA: “Tulipalilia Rushwa kumsitiri Gavana”

Mwakilishi wa wadi ya Asembo Magharibi Mhe. Ambrose Akuno. Picha kwa hisani ya Facebook/
Written by admin

MCA mmoja wa kaunti ya Siaya alikiri kupokea hongo kutoka kwa ofisi ya  gavana wa kaunti hiyo ili kufungia jicho masuala ya ufisadi kwenye kaunti hiyo.

Kukiri kwa mwakilishi wadi ya Asembo Magharibi Ambrose Akuno kwamba alipokea hongo hiyo, kunajiri licha ya juhudi za spika George Okode kumtetea MCA huyo dhidi ya madai ya hongo wiki jana.

Okode wiki jana alikuwa amekanusha madai kwamba MCAs wa Siaya walipokea hongo ili kufunikia ripoti ya ubadhirifu wa shilingi milioni 600 katika kaunti hiyo.

Ripoti iliyokuwa ikisambaa mitandaoni ilisema wawakilishi wadi hao walikuwa wamepokea kiasi cha shilingi 290,000/= kila mmoja kutoka kwa ofisi ya gavana wao.

Hata hivyo sasa Akuno anasema alipokezwa shilingi 150,000/=, akisema aligundua baadaye kwamba pesa hizo zilikuwa miongoni mwa zilizotolewa kwa wenzake kama hongo.

About the author

admin

Leave a Comment

nude pics of weman wrestler with a boner xxnx.vip latina on black porn videos pornos en familia, mom a d son porn how to download from pornhub xxxpor.win axel kane gay porn my hero academia porn comic, my hero academia porn kimberly delgado only fans wifeporn.win backroom casting couch jena sausage party sex scene