repliche orologi replica uhren
News/Habari

Soko la Nakuru lafunguliwa tena

Written by admin

Hatimaye soko la wakulima la Nakuru litafunguliwa tena baada ya kufungwa kwa kipindi cha miezi mitatu na kupelekea wafanyibiashara wa soko hilo kuhamishwa hadi uga wa Afraha  na serikali ya kaunti  kama njia moja ya kuzuia maambukizi ya  homa ya korona kufuatia kuzuka kwa janga hilo nchini.

Kwenye taarifa yake gavana wa kaunti ya Nakuru  Lee Kinyanjui kwa vyombo vya habari ni kuwa  soko hili  litafunguliwa mnamo Septemba 13 na shughuli zake kuanza rasmi jumatatu ijayo tarehe kumi na nne mwezi huu.

 Aidha, amedokeza kuwa serikali yake kupitia idara ya afya kwa umma itahakikisha kuwa wafanyibiashara hao wanazingatia kanuni za wiazra ya afya  ili kuzuia maambukizi zaidi.

Uga wa Afraha Annex na ambao umekuwa ukitumika kama soko wakati wa kipindi cha Covid-19.

About the author

admin

Leave a Comment

nude pics of weman wrestler with a boner xxnx.vip latina on black porn videos pornos en familia, mom a d son porn how to download from pornhub xxxpor.win axel kane gay porn my hero academia porn comic, my hero academia porn kimberly delgado only fans wifeporn.win backroom casting couch jena sausage party sex scene