repliche orologi replica uhren
News/Habari Слоты

Tume ya kitaifa kuhusu haki za kibinadamu yahimiza jamii za wafugaji katika eneo la Baringo kudumisha amani ya kijamii kaskazini mwa bonde la ufa.

photo/Nyeris Facebook
Written by admin

Kamishna Raymond Nyeris wa tume ya kitaifa kuhusu haki za kibinadamu  alihimiza jamii za wafugaji katika eneo la Baringo kuungana,na kuzungumza kwa sauti moja kuhusu mikakati za kudumisha amani ya kijamii kaskazini mwa bonde la ufa.

Akihutubu katika lokesheni ya Sandai kwenye eneobunge la Baringo Kusini siku ya Alhamisi,Kamishna huyo alisema wananchi hawawezi kufurahia rasilmali zao pasipokuwa na  amani katika jamii.

Kulingana na Nyeris wahalifu wachache wanaharibu sifa bora za jamii Fulani.

Aidha aliwahimiza wazee kutoka kwa jamii zote husika kuwa kwenye mstari wa mbele kujenga amani ya kudumu eneo hilo.

About the author

admin

Leave a Comment

nude pics of weman wrestler with a boner xxnx.vip latina on black porn videos pornos en familia, mom a d son porn how to download from pornhub xxxpor.win axel kane gay porn my hero academia porn comic, my hero academia porn kimberly delgado only fans wifeporn.win backroom casting couch jena sausage party sex scene