repliche orologi replica uhren
News/Habari

WAPAMBANAJI NAKURU: TUMECHOKA KUULA WA CHUYA!!!

Written by admin

Wachuuzi na wenye biashara ndogo ndogo mjini Nakuru wameitaka serikali ya kaunti ya Nakuru chini ya Gavana Lee Kinyanjui kurejesha uchukuzi wa matatu katikati pa mji wa Nakuru.

Hii ni baada ya serikali kuu kutangaza kufunguliwa kwa uchumi na kutupiliwa mbali kwa saa za kafyu.

Wachuuzi na wanabiashara hao walisema  biashara zao zilikuwa zikitegemea abiria na wamekuwa wakikadiria hasara kwa zaidi ya mwaka mmoja sasa.

Waliongeza kuwa, kuanguka kwa sekta ya matatu katika kaunti ya Nakuru kumechangia kufirisika kwa baadhi ya kampuni za uchukuzi ambazo zilikuwa zinategemea mikopo.

Zaidi ya yote wametishia kushiriki maandamano iwapo ombi lao litapuuzwa.

About the author

admin

Leave a Comment

nude pics of weman wrestler with a boner xxnx.vip latina on black porn videos pornos en familia, mom a d son porn how to download from pornhub xxxpor.win axel kane gay porn my hero academia porn comic, my hero academia porn kimberly delgado only fans wifeporn.win backroom casting couch jena sausage party sex scene