repliche orologi replica uhren
News/Habari

Wauzaji mvinyo watakabiliwa kisheria

Written by admin

Mwakilishi wa gavana kwenye eneo bunge la Bahati Samuel Macharia Wamae, amewaonya wafanyibiashara wa pombe wanaohudumu kinyume cha sheria kuwa watachukuliwa hatua za kisheria.

Akiongea katika eneo la Maili Kumi, Wamae amesema kuwa imebainika kuwa wengi wa wafanyibiashara hawana leseni za biashara hiyo, jambo ambalo halijakubaliwa kisheria.

Aidha, amesema kuwa ofisi yake kwa ushirikiano na ofisi ya naibu kamishna wa Bahati, imeweka mikakati ya kufanya msako mkali na hata kufunga biashara zisizo na leseni, hasa wakati huu wa shamra shamra za sikukuu ya krismasi.

About the author

admin

Leave a Comment

nude pics of weman wrestler with a boner xxnx.vip latina on black porn videos pornos en familia, mom a d son porn how to download from pornhub xxxpor.win axel kane gay porn my hero academia porn comic, my hero academia porn kimberly delgado only fans wifeporn.win backroom casting couch jena sausage party sex scene