repliche orologi replica uhren
News/Habari

WAZAZI: RAIS NA WAZIRI WANAVURUGA UBORA WA ELIMU KENYA

Written by admin

Baadhi ya wazazi wamewasilisha ombi katika Bunge la Kitaifa wakitaka kusitishwa kwa utekelezaji wa Mtaala  wa CBC.

Hayo yanajiri licha ya rais Uhuru Kenyatta na  waziri wake wa  elimu Profesa George Magoha kuendelea kusisitiza kwamba mtaala huo wa umilisi ni bora na wenye manufaa kwa watahiniwa,

Wazazi hao wamewasilisha ombi hilo kupitia kwa  Mbunge Maalum Wilson Sossion ambaye ni Katibu Mkuu wa zamani wa muugano wa kutetea maslahi ya waalimu (Knut), wakidai utekelezaji wa CBC unakiuka sheria.

Wazazi hao wanapendekeza kushtakiwa kwa maafisa wa serikali ambao wamekuwa wakiendeleza utekelezaji wa mtaala huo mpya kwa kuvuruga ubora wa elimu nchini.

About the author

admin

Leave a Comment

nude pics of weman wrestler with a boner xxnx.vip latina on black porn videos pornos en familia, mom a d son porn how to download from pornhub xxxpor.win axel kane gay porn my hero academia porn comic, my hero academia porn kimberly delgado only fans wifeporn.win backroom casting couch jena sausage party sex scene