repliche orologi replica uhren
Politics/Siasa

LEE KINYANJUI: Michango Mikubwa Ni Hujuma Kwa Kanisa!

Gavana wa kaunti ya Nakuru Lee Kinyanjui. Serikali ya kaunti hii inatoa sodo za bure kwa maelfu ya wanafunzi wa kike.
Written by admin

Gavana wa kuanti ya Nakuru, Lee Kinyanjui, amesifia hatua ya baadhi ya makanisa kupiga marufuku wanasiasa kuzungumza kanisani.

Akizungumza na kituo hiki Lee amesema kuwa kanisa ni pahali patakatifu panapofaa heshima kutoka kwa viongozi na kila mtu.

Kiongozi huyo pia  amesema  baadhi ya wanasiasa  wametumia raslimali zao kuhujumu kanisa kupitia michango mikubwa inayokusudiwa kuhadaa waumini na kuharibu maadili ya nyumba za ibada.

Kinyanjuia anawarai viongozi wanaotaka kuuza sera zao kufanya hivyo baada ya vikao vya kanisa ama katika vikao mbadala.

About the author

admin

Leave a Comment

nude pics of weman wrestler with a boner xxnx.vip latina on black porn videos pornos en familia, mom a d son porn how to download from pornhub xxxpor.win axel kane gay porn my hero academia porn comic, my hero academia porn kimberly delgado only fans wifeporn.win backroom casting couch jena sausage party sex scene