repliche orologi replica uhren
Sports/Michezo

Droo ya Europa League: Arsenal na Man United Zapata Mteremko 

Arsenal na Manchester wapata utam
Written by admin

Klabu ya Manchester United itachuana na Real Sociedad huku Arsenal ikimenyana na mabingwa wa zamani PSV Eindhoven katika hatua ya makundi ya kombe la Europa.

Vijana wa Erik ten Hag pia watachuana na FC Sheriff na Omonia Nicosia katika kundi E, likionekana kuwa kundi rahisi kwa miamba hao wa Uingereza.

 Arsenal pia wamepangwa pamoja na Bodo/Glimt na FC Zurich katika kundi A.

Washindi wa makala ya kwanza ya Europa Conference League Roma kutoka Italia, wamepangwa kundi C pamoja na Real Betis, Ludogorets and HJK.

Droo kamili ya hatua ya makundi

Kundi A: Arsenal, PSV Eindhoven, Bodo/Glimt, FC Zurich

Kundi B: Dynamo Kyiv, Rennes, Fenerbahce, AEK Larnaca Kundi C: Roma, Ludogorets, Real Betis, HJK Helsinki

Kundi D: Braga, Malmo, Union Berlin, Union Saint-Gilloise

Kundi E: Manchester United, Real Sociedad, FC Sheriff, Omonia Nicosia

Kundi F: Lazio, Feyenoord, FC Midtjylland, SK Sturm Graz

Kundi G: Olympiakos, Qarabag, Freiburg, Nantes Kundi H: Red Star Belgrade, Monaco, Ferencvaros TC, Trabzonspor

About the author

admin

Leave a Comment

nude pics of weman wrestler with a boner xxnx.vip latina on black porn videos pornos en familia, mom a d son porn how to download from pornhub xxxpor.win axel kane gay porn my hero academia porn comic, my hero academia porn kimberly delgado only fans wifeporn.win backroom casting couch jena sausage party sex scene