repliche orologi replica uhren
News/Habari

Akamtwa kwa dhuluma dhidi ya mtoto

Written by admin

Mwanamke mwenye  umri wa makamu  mama wa watoto watatu anatarajiwa kufunguliwa mashtaka baada ya kupatikana akimdhulumu mjakazi wake  mwenye umri wa miaka  16 katika eneo la Muguga Pipeline viungani mwa mji wa Nakuru.

Hellena Kabukuru OCPD wa Nakuru Mashariki amethibitisha hili na kusema kuwa alipokea ripoti kutoka kwa wasamaria wema na majirani ambao walishuhudia mjakazi  huyo akiwa amevunjika mkono mbali na kuwa na kidonda kwenye uso wake  majeraha yanayoaminika kutokana na  kichapo alipopokea kutoka kwa mwajiri wake wa mwaka mmoja  Susan Wangeci..

Kabukuru anasema Mwajiri huyo  atafunguliwa mashtaka pale uchunguzi utakamilishwa huku msichana huyo kwa sasa  akipelekwa katika hospitali kuu ya jimbo kwa matibabu.

Kwa mujibu wa OCPD Wangeci atafunguliwa mashtaka ya  dhulma sawa na kuajiri mtoto  mwenye umri mdogo na hivyo kumnyima haki zake za kuwa shuleni.

Juhudi za kuifikia familia yake  hazijafua dafu.

Sarah Nyangeri

About the author

admin

Leave a Comment

nude pics of weman wrestler with a boner xxnx.vip latina on black porn videos pornos en familia, mom a d son porn how to download from pornhub xxxpor.win axel kane gay porn my hero academia porn comic, my hero academia porn kimberly delgado only fans wifeporn.win backroom casting couch jena sausage party sex scene