repliche orologi replica uhren
News/Habari

CHEBOI: TUSAFIRIE SHERIA ILI KUONDOA UKAKASI WA MARADHI!!!

Aliyekuwa Gavana wa kaunti ya Baringo Benjamin Cheboi. Picha/mtandao
Written by admin

Aliyekuwa Gavana wa kaunti ya Baringo Benjamin Cheboi   anataka bunge la kaunti hiyo kubuni sheria kuhusu afya kwa wakongwe kwenye jamii, ili kuondoa mzigo wa  kuchanga pesa za kugharamia matibabu yao.

Akiongea kule Koibatek Cheboi alisema matibabu kwa wakongwe yanafaa kutolewa bila malipo, na kuhimiza bunge la kaunti hiyo kuhakikisha kwamba sheria kuhusu bima ya afya kwa wakongwe inabuniwa.

Aidha wanasiasa wengi katika maeneo ya Baringo wanazidi kuwa tegemeo na kimbilio kwa watu wanaotafuta matibabu na pia shughuli za mazishi.

About the author

admin

Leave a Comment

nude pics of weman wrestler with a boner xxnx.vip latina on black porn videos pornos en familia, mom a d son porn how to download from pornhub xxxpor.win axel kane gay porn my hero academia porn comic, my hero academia porn kimberly delgado only fans wifeporn.win backroom casting couch jena sausage party sex scene