repliche orologi replica uhren
News/Habari

KENYA: Afisa wa polisi amuua mgonjwa hospitalini kisha kujiua kituoni

Written by admin

Mlinzi wa hospitali ya Njoro, kaunti ya Nakuru, aliyekuwa kwenye zamu usiku wa jana wakati afisa wa Polisi Bernard Sivo alimvaamia mpenziwe na kumuua kwa kumpiga risasi, alijitokeza kuzungumzia yaliyojiri wakati wa kisa hicho.

Mlinzi huyo kwa jina Vincent Lematoo alisema afisa huyo wa polisi hakuwa na haja ya kuangamiza au kudhuru mtu mwingine yeyote, ila alilenga mhasiriwa Mary Nyambura aliyekuwa amelazwa baada ya kuvunjwa mguu na afisa huyo hapo awali mwendo wa saa tatu.

Hayo yalidhibitishwa mapema leo na OCPD katika eneo la Njoro Jonathan Kisaka akisema baada ya afisa huyo kumuua mpenziwe alielekea hadi kwenye kituo cha  polisi na kukiteka nyara kwa mda kabla ya kujiua. 

About the author

admin

Leave a Comment

nude pics of weman wrestler with a boner xxnx.vip latina on black porn videos pornos en familia, mom a d son porn how to download from pornhub xxxpor.win axel kane gay porn my hero academia porn comic, my hero academia porn kimberly delgado only fans wifeporn.win backroom casting couch jena sausage party sex scene