repliche orologi replica uhren
News/Habari

LAIKIPIA: HALI YA USALAMA KAMA KAWA!

Written by admin

Watu watatu wamepigwa risasi na kuuwawa na wezi wa mifugo katika kijiji cha Ndindika, wilaya ya Ngarua kaunti ya  Laikipia.

Mtu mmoja alijeruhiwa pia katika jaribio la wizi wa mifugo kupitia  hifadhi ya Laikipia Nature.

Kulingana na msemaji wa polisi Bruno Shiosi, Wavamizi hao walikuwa wametekeleza wizi wa mamia ya mifugo  kutoka boma za wakaazi eneo hilo jana jioni mwendo wa saa kumi, lakini wakakabiliwa njiani na maafisa wa usalama.

Saa chache baadaye wavamizi hao waliweza kurejea kulipiza kisasi baada ya kugadhabishwa na kitendo cha maafisa hao kuwatwaa  mifugo hao kutoka kwao.

Wavamizi hao kutoka Pokot waliingia kwenye boma la Michael Kananu na kutoweka na ng’ombe 32 na kondoo wawili, na njiani wakawapiga risasi watu wanne waliokuwa wakivua samaki kwenye bwawa la Mbogoini.

Kulingana na Shiosi, polisi hata hivyo walifanikiwa kuwakabili tena na wakapotea wakiacha nyuma mifugo hao waliorejeshewa mwenyewe.

About the author

admin

Leave a Comment

nude pics of weman wrestler with a boner xxnx.vip latina on black porn videos pornos en familia, mom a d son porn how to download from pornhub xxxpor.win axel kane gay porn my hero academia porn comic, my hero academia porn kimberly delgado only fans wifeporn.win backroom casting couch jena sausage party sex scene