repliche orologi replica uhren
News/Habari

Madiwani wa zamani wateta

Waliokuwa wawakilishi wadi wasema wanafaa kulipwa kwa haraka
Written by admin

Walokuwa madiwani katika serikali za mbeleni wameitaka serikali kuhakikisha kutekelezwa kwa malipo yao ya kutuzwa kwa kazi yao ya shilingi milioni moja nukta tano kila mmoja ilivyokuwa makubaliano yao 

Wakiongea mjini Nakuru kwenye kikao chao cha kila mwaka wakiongozwa na mwenyekiti na Meya wa zamani Samson Nkanata wanalalamikia kujikokota kwa shughuli nzima .

Wanasema kukawia kwa shughuli hiyo kumezidi kuwaathiri wengi wao ambao ni wakongwe kwa sasa na ambao idadi kubwa imeanza kupata changamoto za kiafya mbali na baadhi yao  wameshaaga  dunia.

Huku wakipongeza serikali ya kaunti ya Nakuru kwa juhudi zake kidogo za kuangalia maslahi ya viongozi hao  katibu wao Geoffrey Mutai amesisitiza  swala la wanakoegesha magari yao lafaa kuzidi kushughulikiwa wakiomba wabunge pia kuunga mkono shughuli hiyo  na kuhakikisha wanasiasa hao wakongwe wanapokea haki zao.

About the author

admin

Leave a Comment

nude pics of weman wrestler with a boner xxnx.vip latina on black porn videos pornos en familia, mom a d son porn how to download from pornhub xxxpor.win axel kane gay porn my hero academia porn comic, my hero academia porn kimberly delgado only fans wifeporn.win backroom casting couch jena sausage party sex scene