repliche orologi replica uhren
News/Habari

Mazingira hayataharibiwa asema Balala

Written by admin

Waziri wa utalii Najib Balala ametetea kufanyika kwa mashindano ya magari ya dunia katika mbuga ya wanyama ya Hellsgate mjini Naivasha na kusema hayatakuwa na madhara yeyote kwa mazingira.

Akizungumza baada ya kuzuru mbuga hiyo, Balala amesema wataalamu wa maswala ya mazingira walikuwa wamefanya utafiti umedhihirisha kuwa wanyama walio mbugani hawataadhiriwa kwa vyovyote na mashindano hayo yatakayofanyika mwezi julai mwaka huu.

Vile vile waziri huyo amesema kuwa mashindano hayo yatakuwa ya kitaifa na yatawaleta takriban wageni laki moja mjini humo na kuongeza kuwa walikuwa wakishirikiana na muungano wa wasimamizi wa mashindano hayo ili kuhakikisha kuwa yatakuwa ya kufana.

Naye mwenyekiti wa muungano huo Phineas Kimathi amesema madereva kutoka kila kona ya ulimwengu watashindana katika mashindano hayo.

NA SILAS MWITI

About the author

admin

Leave a Comment

nude pics of weman wrestler with a boner xxnx.vip latina on black porn videos pornos en familia, mom a d son porn how to download from pornhub xxxpor.win axel kane gay porn my hero academia porn comic, my hero academia porn kimberly delgado only fans wifeporn.win backroom casting couch jena sausage party sex scene