repliche orologi replica uhren
News/Habari

MICHEZO: Toka Chini kwenda Juu

Askari mwanariadha Timothy Cheruiyot akipandishwa cheo.
Written by admin

Mshindi wa medali ya shaba katika michezo ya Olimpiki mwaka wa 2020 kitengo cha riadha ya mita 1,500 Timothy Cheruiyot ameongezewa mamlaka na kuwa suparitenda mkuu wa kitengo cha magereza.

Awali alikuwa na cheo cha inspekta mkuu wa magereza, na kupandishwa kwake cheo kunafuatia amri ambayo ilitolewa na rais Uhuru Kenyatta hapo jana.

Zoezi hilo liliongozwa na kamishina mkuu wa kitengo cha magereza Wycliffe Ogallo katika makao makuu ya idara hiyo kwenye jumba la Magereza House.

Cheruiyot alijishindia fedha kwenye mashindano hayo baada ya kuibuka wa pili nyuma ya raia wa Norway Jakob Ingebrigtsen.

About the author

admin

Leave a Comment

nude pics of weman wrestler with a boner xxnx.vip latina on black porn videos pornos en familia, mom a d son porn how to download from pornhub xxxpor.win axel kane gay porn my hero academia porn comic, my hero academia porn kimberly delgado only fans wifeporn.win backroom casting couch jena sausage party sex scene