repliche orologi replica uhren
News/Habari

NAIROBI: MHALIFU AWATIA MBARONI POLISI!!

Written by admin

Maafisa watatu wa polisi wanaofanya kazi katika kituo cha jogoo wamekamatwa kwa madai ya kusaidia katika kutoroka kwa mshukiwa wa mauaji Masten Millimo Wanjala hapo jana.

Watatu hao ni  Inspekta wa polisi Philip Mbithi na makostebo  Boniface Mutuma na Precious Mwende.

Watatu hao waliokamatwa na kitengo cha upelelezi wa jinai kaunti ya Nairobi, wanatarajiwa kufikishwa mahakamani hii leo.

Watashtakiwa kwa kumsaidia mshukiwa aliyekiri kutekeleza mauaji kutoroka, pamoja na kutelekeza majukumu yao.

Wanjala ambaye alikiri kuua wasichana wasiopungua kumi, alitoroka kutoka seli za kituo cha Jogoo hapo jana Okt 13, wakati alikuwa anatarajiwa kufikishwa mahakamani kukabiliwa na mashtaka 13 ya mauji.

About the author

admin

Leave a Comment

nude pics of weman wrestler with a boner xxnx.vip latina on black porn videos pornos en familia, mom a d son porn how to download from pornhub xxxpor.win axel kane gay porn my hero academia porn comic, my hero academia porn kimberly delgado only fans wifeporn.win backroom casting couch jena sausage party sex scene