repliche orologi replica uhren
News/Habari

Taasisi ya RVIST yapata afueni

Written by admin

Nakuru 1pm December 5, 2019

Taasisi ya Rift Valley Institute of Science and Technology RVST imepata afueni kwenye ombi lao la kuhifadhi  kipande cha ardhi ekari 2700 baada ya mahakama ya  ardhi na mazingiria kupuzilia mbali  hati miliki zinazodaiwa kupatikana kiharamu.

Kwenye kesi iliyowasilishwa mbele ya Jaji Silas Munyao na uamuzi wake kutolewa na jaji Dalmas Ohungo ni kuwa hamna ushahidi wowote  kuwa  ‘Trustees’  walio na jukumu la  kuunga mkono kuuzwa kwa ardhi  walikubaliana kwa vyovyote  kuhusiana na kununulia kwa ardhi hiyo .

Ardhi hiyo inamiliki taasisi hiyo ya RVST  sawa na shamba lake huku trustees hao wakisema  ilikuwa  imekatwa vipande na kuuziwa wawekezaji wa kibinafsi.

Jaji Ohungo katika uamuzi wake akisema  vipande hivyo  havikuchuliwa kwa njia ya kisheria na kihaki  na kuamrisha virejeshwe katika ardhi ya taasisi hiyo.

Julius Sunkuli ni katibu wa ‘Trustees’ hiyo na amesema imekuwa kipindi kirefu tangia mwaka 2006 kupata hki kwao kuhusina na kipande hicho cha takriban hekari 6000.

About the author

admin

Leave a Comment

nude pics of weman wrestler with a boner xxnx.vip latina on black porn videos pornos en familia, mom a d son porn how to download from pornhub xxxpor.win axel kane gay porn my hero academia porn comic, my hero academia porn kimberly delgado only fans wifeporn.win backroom casting couch jena sausage party sex scene