repliche orologi replica uhren
News/Habari

Wakulima wapata ufadhili wa Milioni mia moja unusu

Muungano wa Bara Uropa umetoa shilingi Milioni Mia moja unusu kufadhili Wakulima
Written by admin

Muungano wa mataifa ya Bara Uropa umetoa jumla ya shilingi milioni mia moja unusu zitakazotumiwa kuwasaidia wakulima ili kuimarisha mazao yao.

Kwenye mradi wa miaka mitatu, muungano huo utatoa fedha kwa shirika la WWF ambalo litafanya kazi kwa karibu na wakulima ili kuweza kutimisha lengo lao.

Akizungumza eneo la Ndabibi mjini Naivasha, Balozi wa muungano huo nchini Kenya Simon Mordue, kaunti tatu zitanufaika na mradi huo huku wakulima wakipata mbegu za kisasa na mafunzo ya kuweza kuboresha kilimo chao.

Naye mkurugenzi mkuu wa shirika la WWF Mohammed Awer amesema kaunti za Nyandarua, Nakuru na Narok zitanufaika na mradi huo wa miaka mitano.

About the author

admin

Leave a Comment

nude pics of weman wrestler with a boner xxnx.vip latina on black porn videos pornos en familia, mom a d son porn how to download from pornhub xxxpor.win axel kane gay porn my hero academia porn comic, my hero academia porn kimberly delgado only fans wifeporn.win backroom casting couch jena sausage party sex scene