repliche orologi replica uhren
News/Habari

Wanabiashara wapata hasara huku Mwingine akitoa mchango kwa Rais

Written by admin

Takriban wanabiashara 5 kutoka kituo cha kibiashara cha salgaa wanakadiria hasara baada ya moto kuzuka jana usiku na kuteketeza maduka yao.

Akizungumza na kituo hiki usiku wa kuamkia leo mwenyekiti wa nyumba akumi kata ya salgaa Andrew Koros amesema kwamba,moto huu unashukiwa kuanzia kwenye duka moja la vibanzi na mwishowe kusambaa hadi kwenye maduka mengine.

Ameongeza kuwa,kuchelewa kwa gari la kuzima moto la kaunti ya nakuru,ndiko kulipelekea hasara zaidi kushuhudiwa.

Akidhibitisha kisa hiki Ocpd wa Rongai Richard rotich ametaja kuwa,bado chanzo cha moto hakijaweza kubainika,kwani juhudi zote zilikuwa za kujaribu kuuzima moto huo……..Kwingineko

Mfanyabiashara mmoja kutoka mji wa Olkalou kaunti ya Nyandarua amewashangaza wengi baada ya kuandikia rais Uhuru Muigai Kenyatta hundi ya shilingi 10,500 kama mchango wake katika vita dhidi ya ugonjwa wa Covid -19. 

David Wanjohi wamesema kuwa ni jukumu la kila mmoja haswa wanaojiweza katika taifa hili kusaidia wanyonge na wasiojiweza  wakati huu mgumu wanapokabiliana na ugonjwa wa Covid- 19.

About the author

admin

Leave a Comment

nude pics of weman wrestler with a boner xxnx.vip latina on black porn videos pornos en familia, mom a d son porn how to download from pornhub xxxpor.win axel kane gay porn my hero academia porn comic, my hero academia porn kimberly delgado only fans wifeporn.win backroom casting couch jena sausage party sex scene